Waroma 3:3 - Linganisha Matoleo Yote
Waroma 3:3 BHN (Biblia Habari Njema)
Lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa Mungu?
Shirikisha
Waroma 3 BHNWaroma 3:3 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?
Shirikisha
Waroma 3 SUVWaroma 3:3 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutoamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?
Shirikisha
Waroma 3 SRUVWaroma 3:3 NEN (Neno)
Ingekuwaje kama wengine hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kungebatilisha uaminifu wa Mungu?
Shirikisha
Waroma 3 NEN