Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 3:3 - Linganisha Matoleo Yote

Waroma 3:3 BHN (Biblia Habari Njema)

Lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa Mungu?

Shirikisha
Waroma 3 BHN

Waroma 3:3 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?

Shirikisha
Waroma 3 SUV

Waroma 3:3 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutoamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?

Shirikisha
Waroma 3 SRUV

Waroma 3:3 NEN (Neno)

Ingekuwaje kama wengine hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kungebatilisha uaminifu wa Mungu?

Shirikisha
Waroma 3 NEN