Waroma 2:3 - Linganisha Matoleo Yote
Waroma 2:3 BHN (Biblia Habari Njema)
Lakini wewe rafiki unayewahukumu wale wanaofanya mambo kama hayo hali wewe pia unayafanya, je unadhani utaiepa hukumu ya Mungu?
Shirikisha
Waroma 2 BHNWaroma 2:3 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wewe binadamu, uwahukumuye wale wafanyao hayo na kutenda yayo hayo mwenyewe, je! Wadhani ya kwamba utajiepusha na hukumu ya Mungu?
Shirikisha
Waroma 2 SUVWaroma 2:3 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Wewe binadamu, uwahukumuye wale wafanyao hayo na kutenda yayo hayo mwenyewe, je! Wadhani ya kwamba utajiepusha na hukumu ya Mungu?
Shirikisha
Waroma 2 SRUVWaroma 2:3 NEN (Neno)
Hivyo wewe mwanadamu, unapotoa hukumu juu yao na bado unafanya mambo yale yale, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu?
Shirikisha
Waroma 2 NEN