Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 2:3 - Linganisha Matoleo Yote

Waroma 2:3 BHN (Biblia Habari Njema)

Lakini wewe rafiki unayewahukumu wale wanaofanya mambo kama hayo hali wewe pia unayafanya, je unadhani utaiepa hukumu ya Mungu?

Shirikisha
Waroma 2 BHN

Waroma 2:3 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Wewe binadamu, uwahukumuye wale wafanyao hayo na kutenda yayo hayo mwenyewe, je! Wadhani ya kwamba utajiepusha na hukumu ya Mungu?

Shirikisha
Waroma 2 SUV

Waroma 2:3 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Wewe binadamu, uwahukumuye wale wafanyao hayo na kutenda yayo hayo mwenyewe, je! Wadhani ya kwamba utajiepusha na hukumu ya Mungu?

Shirikisha
Waroma 2 SRUV

Waroma 2:3 NEN (Neno)

Hivyo wewe mwanadamu, unapotoa hukumu juu yao na bado unafanya mambo yale yale, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu?

Shirikisha
Waroma 2 NEN