Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 2:26 - Linganisha Matoleo Yote

Waroma 2:26 BHN (Biblia Habari Njema)

Kama mtu wa mataifa mengine ambaye hakutahiriwa akitimiza matakwa ya sheria, hakika atafikiriwa kana kwamba ametahiriwa.

Shirikisha
Waroma 2 BHN

Waroma 2:26 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Basi ikiwa yeye asiyetahiriwa huyashika maagizo ya torati, je! Kutokutahiriwa kwake hakutahesabiwa kuwa kutahiriwa?

Shirikisha
Waroma 2 SUV

Waroma 2:26 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Basi ikiwa yeye asiyetahiriwa huyashika maagizo ya torati, je! Kutotahiriwa kwake hakutahesabiwa kuwa kutahiriwa?

Shirikisha
Waroma 2 SRUV

Waroma 2:26 NEN (Neno)

Hivyo, ikiwa wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa?

Shirikisha
Waroma 2 NEN