Waroma 2:26 - Linganisha Matoleo Yote
Waroma 2:26 BHN (Biblia Habari Njema)
Kama mtu wa mataifa mengine ambaye hakutahiriwa akitimiza matakwa ya sheria, hakika atafikiriwa kana kwamba ametahiriwa.
Shirikisha
Waroma 2 BHNWaroma 2:26 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi ikiwa yeye asiyetahiriwa huyashika maagizo ya torati, je! Kutokutahiriwa kwake hakutahesabiwa kuwa kutahiriwa?
Shirikisha
Waroma 2 SUVWaroma 2:26 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Basi ikiwa yeye asiyetahiriwa huyashika maagizo ya torati, je! Kutotahiriwa kwake hakutahesabiwa kuwa kutahiriwa?
Shirikisha
Waroma 2 SRUVWaroma 2:26 NEN (Neno)
Hivyo, ikiwa wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa?
Shirikisha
Waroma 2 NEN