Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 2:12 - Linganisha Matoleo Yote

Waroma 2:12 BHN (Biblia Habari Njema)

Wale wanaotenda dhambi bila kuijua sheria wataangamia ingawaje hawaijui sheria. Na wale wanaotenda dhambi wakiwa wanaijua sheria watahukumiwa kisheria.

Shirikisha
Waroma 2 BHN

Waroma 2:12 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Kwa kuwa wote waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na wote waliokosa, wenye sheria, watahukumiwa kwa sheria.

Shirikisha
Waroma 2 SUV

Waroma 2:12 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Kwa kuwa wote waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na wote waliokosa, wenye sheria, watahukumiwa kwa sheria.

Shirikisha
Waroma 2 SRUV

Waroma 2:12 NEN (Neno)

Watu wote waliotenda dhambi pasipo sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote waliotenda dhambi chini ya sheria watahukumiwa kwa sheria.

Shirikisha
Waroma 2 NEN