Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 2:2 - Linganisha Matoleo Yote

Hesabu 2:2 BHN (Biblia Habari Njema)

“Waisraeli watapiga kambi zao, kila mmoja akikaa mahali penye bendera yake, penye alama za ukoo wake. Watapiga kambi zao kulizunguka hema la mkutano.

Shirikisha
Hesabu 2 BHN

Hesabu 2:2 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Wana wa Israeli watapanga kila mtu penye beramu yake mwenyewe, na alama za nyumba za baba zao; kuikabili hema ya kukutania ndiko watakakopanga kwa kuizunguka pande zote.

Shirikisha
Hesabu 2 SUV

Hesabu 2:2 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Wana wa Israeli watapanga kila mtu penye bendera yake mwenyewe, na alama za nyumba za baba zao; kuikabili hema ya kukutania ndiko watakakopanga kwa kuizunguka pande zote.

Shirikisha
Hesabu 2 SRUV

Hesabu 2:2 NEN (Neno)

“Waisraeli watapiga kambi zao kuzunguka Hema la Kukutania kwa umbali kiasi, kila mwanaume akiwa chini ya beramu yake, pamoja na bendera ya jamaa yake.”

Shirikisha
Hesabu 2 NEN