Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 28:8 - Linganisha Matoleo Yote

Mathayo 28:8 BHN (Biblia Habari Njema)

Wakiwa wenye hofu na furaha kubwa, hao wanawake walitoka upesi kaburini, wakakimbia kwenda kuwaambia wanafunzi wake.

Shirikisha
Mathayo 28 BHN

Mathayo 28:8 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Wakaondoka upesi kutoka kaburini, kwa hofu na furaha nyingi, wakaenda mbio kuwapasha wanafunzi wake habari.

Shirikisha
Mathayo 28 SUV

Mathayo 28:8 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Wakaondoka upesi kutoka kaburini, kwa hofu na furaha nyingi, wakaenda mbio kuwapasha wanafunzi wake habari.

Shirikisha
Mathayo 28 SRUV

Mathayo 28:8 NEN (Neno)

Hivyo wale wanawake wakaondoka pale kaburini wakiwa wamejawa na hofu, lakini wakiwa na furaha nyingi. Wakaenda mbio kuwaeleza wanafunzi wake habari hizo.

Shirikisha
Mathayo 28 NEN