Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 28:2 - Linganisha Matoleo Yote

Mathayo 28:2 BHN (Biblia Habari Njema)

Ghafla kukatokea tetemeko kubwa la nchi; malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akalivingirisha lile jiwe, akalikalia.

Shirikisha
Mathayo 28 BHN

Mathayo 28:2 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Na tazama, palikuwa na tetemeko kubwa la nchi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaja akalivingirisha lile jiwe akalikalia.

Shirikisha
Mathayo 28 SUV

Mathayo 28:2 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Na tazama, palikuwa na tetemeko kubwa la ardhi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaja akalivingirisha lile jiwe akalikalia.

Shirikisha
Mathayo 28 SRUV

Mathayo 28:2 NEN (Neno)

Ghafula, pakawa na tetemeko kubwa la ardhi, kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaenda kwenye kaburi, akalivingirisha lile jiwe na kulikalia.

Shirikisha
Mathayo 28 NEN