Mathayo 26:57 - Linganisha Matoleo Yote
Mathayo 26:57 BHN (Biblia Habari Njema)
Basi, hao watu waliomkamata Yesu walimpeleka nyumbani kwa Kayafa, kuhani mkuu, walikokusanyika waalimu wa sheria na wazee.
Shirikisha
Mathayo 26 BHNMathayo 26:57 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, walikokuwa wamekutanika waandishi na wazee.
Shirikisha
Mathayo 26 SUVMathayo 26:57 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Nao waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, walikokuwa wamekutanika waandishi na wazee.
Shirikisha
Mathayo 26 SRUVMathayo 26:57 NEN (Neno)
Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa, kuhani mkuu, mahali ambapo walimu wa sheria pamoja na wazee walikuwa wamekusanyika.
Shirikisha
Mathayo 26 NEN