Mathayo 12:2 - Linganisha Matoleo Yote
Mathayo 12:2 BHN (Biblia Habari Njema)
Mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia Yesu, “Tazama, wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanya siku ya Sabato.”
Shirikisha
Mathayo 12 BHNMathayo 12:2 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Mafarisayo walipoona, walimwambia, Tazama! Wanafunzi wako wanafanya neno ambalo si halali kulifanya siku ya sabato.
Shirikisha
Mathayo 12 SUVMathayo 12:2 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Na Mafarisayo walipoona, walimwambia, Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali kulifanya siku ya sabato.
Shirikisha
Mathayo 12 SRUVMathayo 12:2 NEN (Neno)
Lakini Mafarisayo walipoona jambo hili, wakamwambia, “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanywa siku ya Sabato.”
Shirikisha
Mathayo 12 NEN