Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Walawi 7:34 - Linganisha Matoleo Yote

Walawi 7:34 BHN (Biblia Habari Njema)

Mwenyezi-Mungu amewaagiza watu wa Israeli watenge kidari hicho na mguu huo wa mnyama wa sadaka zao za amani, wampe kuhani Aroni na wazawa wake, maana sehemu hiyo wamewekewa hao makuhani milele.

Shirikisha
Walawi 7 BHN

Walawi 7:34 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Kwa maana, hicho kidari cha kutikiswa, na huo mguu wa kuinuliwa, nimevitwaa kwa wana wa Israeli, katika dhabihu zao za sadaka za amani, nami nimempa Haruni kuhani na wanawe, kuwa haki yao ya milele kutoka kwa wana wa Israeli.

Shirikisha
Walawi 7 SUV

Walawi 7:34 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Kwa maana, hicho kidari cha kutikiswa, na huo mguu wa kuinuliwa, nimevitwaa kwa wana wa Israeli, katika dhabihu zao za sadaka za amani, nami nimempa Haruni kuhani na wanawe, kuwa haki yao ya milele kutoka kwa wana wa Israeli.

Shirikisha
Walawi 7 SRUV

Walawi 7:34 NEN (Neno)

Kutoka kwa sadaka za amani za Waisraeli, mimi Mungu nimepokea kidari kile kilichoinuliwa, pamoja na lile paja lililotolewa, nami nimevitoa kwa kuhani Haruni na wanawe kuwa fungu lao la milele kutoka kwa Waisraeli.’ ”

Shirikisha
Walawi 7 NEN