Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 6:4 - Linganisha Matoleo Yote

Danieli 6:4 BHN (Biblia Habari Njema)

Wale wakuu pamoja na maliwali wakatafuta kisingizio cha kumshtaki Danieli kuhusu mambo ya ufalme, lakini hawakuweza kupata sababu ya kumlaumu, wala kosa lolote, kwani Danieli alikuwa mwaminifu. Hakupatikana na kosa, wala hatia yoyote.

Shirikisha
Danieli 6 BHN

Danieli 6:4 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Basi mawaziri na maamiri wakatafuta sana kupata sababu za kumshitaki Danieli kwa habari za mambo ya ufalme; lakini hawakuweza kuona sababu wala kosa; kwa maana alikuwa mwaminifu, wala halikuonekana kosa wala hatia ndani yake.

Shirikisha
Danieli 6 SUV

Danieli 6:4 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Basi mawaziri na viongozi wakatafuta sana kupata sababu za kumshitaki Danieli kwa habari za mambo ya ufalme; lakini hawakuweza kuona sababu wala kosa; kwa maana alikuwa mwaminifu, wala halikuonekana kosa wala hatia ndani yake.

Shirikisha
Danieli 6 SRUV

Danieli 6:4 NEN (Neno)

Walipofahamu hilo, wasimamizi na wakuu wakajaribu kutafuta sababu za kumshtaki Danieli kuhusu usimamizi wake wa shughuli za serikali, lakini hawakuweza kufanikiwa. Hawakuweza kupata kosa kwake, kwa sababu alikuwa mwaminifu, wala hakupatikana na upotovu au uzembe.

Shirikisha
Danieli 6 NEN