2 Wathesalonike 1:10
2 Wathesalonike 1:10 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
yeye atakapokuja ili kutukuzwa katika watakatifu wake, na kustaajabiwa katika wote waliosadiki katika siku ile, (kwa sababu ushuhuda wetu ulisadikiwa kwenu).
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 12 Wathesalonike 1:10 Biblia Habari Njema (BHN)
wakati atakapokuja siku ile kupokea utukufu kutoka kwa watu wake na heshima kutoka kwa wote wanaoamini. Nyinyi pia mtakuwa miongoni mwao, kwani mmeuamini ule ujumbe tuliowaletea.
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 1