2 Wathesalonike 1:10 - Linganisha Matoleo Yote
2 Wathesalonike 1:10 BHN (Biblia Habari Njema)
wakati atakapokuja siku ile kupokea utukufu kutoka kwa watu wake na heshima kutoka kwa wote wanaoamini. Nyinyi pia mtakuwa miongoni mwao, kwani mmeuamini ule ujumbe tuliowaletea.
Shirikisha
2 Wathesalonike 1 BHN2 Wathesalonike 1:10 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
yeye atakapokuja ili kutukuzwa katika watakatifu wake, na kustaajabiwa katika wote waliosadiki katika siku ile, (kwa sababu ushuhuda wetu ulisadikiwa kwenu).
Shirikisha
2 Wathesalonike 1 SUV2 Wathesalonike 1:10 SRUV (Swahili Revised Union Version)
yeye atakapokuja ili kutukuzwa katika watakatifu wake, na kustaajabiwa katika wote waliosadiki katika siku ile, (kwa sababu ushuhuda wetu ulisadikiwa kwenu).
Shirikisha
2 Wathesalonike 1 SRUV2 Wathesalonike 1:10 NEN (Neno)
siku hiyo atakapokuja kutukuzwa katika watakatifu wake na kustaajabiwa miongoni mwa wote walioamini. Ninyi pia mtakuwa miongoni mwa hawa kwa sababu mliamini ushuhuda wetu kwenu.
Shirikisha
2 Wathesalonike 1 NEN