Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

2 Wathesalonike 2:16-17

2 Wathesalonike 2:16-17 SRUVDC

Na Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu, aliyetupenda akatupa faraja ya milele na tumaini jema, katika neema, awafariji mioyo yenu, na kuwafanya imara katika kila neno na tendo jema.