Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mdo 17:23

Kueneza Habari Za Yesu Katika Mwaka Wa
5 Siku
Mwito wa kila Mkristo ni kueneza habari za Yesu zenye uwezo wa kubadilisha maisha na jinsi Yesu anavyoweza kumbadilisha kila mtu kikamilifu. Mpango huu wa siku tano unatoa mwongozo halisi kuhusu jinsi unavyoweza kuitikia mwito huu kila siku na uone Yesu akibadili maisha ya walio karibu nawe wanaohitaji kumfahamu.

Mtazamo wa ulimwengu
9 Siku
Kila mtu ana Maoni yake ya a ulimwengu, ijapo iwapo anaelewa au haelewi! Kama Wakristo, kuwa na ufahamu wa kichujio kinachotumiwa kuuona ulimwengu ni muhimu sana kwa ukomeaji wetu wa kiroho, mtindo wa maisha na ushawishi. Kujifunza jinsi ya kufikiri kwa kina na kuchambua habari, iwe ni kutoka kwa vyombo vya habari au ni mazugumzo na wengine, kutatuwezesha kukabiliana na maswala magumu na hali ya maisha tukiwa na ujasiri!

Soma Biblia Kila Siku 6
Siku 30
Soma Biblia Kila Siku 6 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.

Soma Biblia Kila Siku 05/2025
31 Siku
Soma Biblia Kila Siku 05/2025 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi Mei pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Matendo ya Mitume, Filemoni na Zaburi. Karibu kujiunga na mpango huu