YouVersion logga
BibelnLäsplanerVideor
Skaffa appen
Språkväljare
Sök ikon

Populära bibelverser från Luka 24

1

Luka 24:49

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Nami mwenyewe nitawapelekeeni yule ambaye Baba aliahidi kumtuma, lakini ngojeni huku mjini mpaka mtakapopewa ile nguvu itokayo juu.”

Jämför

Utforska Luka 24:49

2

Luka 24:6

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Hayuko hapa; amefufuka. Kumbukeni aliyowaambieni alipokuwa kule Galilaya

Jämför

Utforska Luka 24:6

3

Luka 24:31-32

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao. Basi, wakaambiana, “Je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia Maandiko Matakatifu kule njiani?”

Jämför

Utforska Luka 24:31-32

4

Luka 24:46-47

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Akawaambia, “Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu, na kwamba ni lazima, kwa jina lake, mataifa yote kuanzia Yerusalemu, yahubiriwe kwamba watu wanapaswa kutubu na kusamehewa dhambi.

Jämför

Utforska Luka 24:46-47

5

Luka 24:2-3

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Walikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi. Walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa Bwana Yesu.

Jämför

Utforska Luka 24:2-3

Föregående kapitel
Nästa kapitel
YouVersion

Uppmuntrar och utmanar dig att söka Guds närhet varje dag.

Tjänst

Om

Karriärer

Volontär

Blogg

Press

Användbara länkar

Hjälp

Donera

Bibelöversättningar

Ljudbiblar

Bibelspråk

Dagens vers


En digital tjänst från

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

IntegritetspolicyVillkor
Åtgärdsprogram för säkerhet
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Hem

Bibeln

Läsplaner

Videor