Somabiblia Kila Siku 3Пример

Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa (m.21 na 32). Kwa macho ya kibinadamu Bwana Yesu alichelewa. Lakini Yesu alijua yote tokea mbali (m.11-15). Na ilikuwa ni hatari kwa Yesu kwenda Bethania (m.7-8 na 16). Lakini upendo wake kwa wafiwa ulimsukuma aende (m.3 na 5)! Martha alipoonyesha imani yake juu ya ufufuo siku ya mwisho (m. 23f), Yesu alimfundisha akisema: Mimi ndimi huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi(m.25f)! Je, unasadiki hayo?
Священное Писание
Об этом плане

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Планы, относящиеся к теме

Стань частью Божьей команды

Христианин - это моя сущность, а спортсмен — это то, чем я занимаюсь.

Послушай меня, мое дитя…Как наставлять, чтобы дети слышали?

ВОЗВРАЩЕНИЕ КОРОЛЯ

Кто я? Божья истина о моей идентичности

Нагорная проповедь. Заповеди блаженства.

Когда сердце одиноко: 7 библейских историй надежды

Непоколебимая радость: борьба за нечто большее, чем просто победа

Пятидневная молитва за незнающих Христа
