Mwanzo 18:23-24

Mwanzo 18:23-24 BHN

Basi, Abrahamu akamkaribia Mwenyezi-Mungu, akamwuliza, “Je, kweli utawaangamiza watu wema pamoja na waovu? Huenda ikawa mna watu wema hamsini humo mjini. Je, utauangamiza mji mzima badala ya kuuacha kwa sababu ya hao wema hamsini waliomo humo?

Читать Mwanzo 18

Бесплатные планы чтения и наставления по теме Mwanzo 18:23-24