1
Zaburi 94:19
Neno
NEN
Wasiwasi ulipokuwa mwingi ndani yangu, faraja yako ilinipa furaha nafsini mwangu.
Compară
Explorează Zaburi 94:19
2
Zaburi 94:18
Niliposema, “Mguu wangu unateleza,” Ee BWANA, upendo wako ulinishikilia.
Explorează Zaburi 94:18
3
Zaburi 94:22
Lakini BWANA amekuwa ngome yangu, na Mungu wangu amekuwa mwamba ninaoukimbilia.
Explorează Zaburi 94:22
4
Zaburi 94:12
Ee BWANA, heri mtu anayeadhibishwa na wewe, mtu unayemfundisha kwa sheria yako
Explorează Zaburi 94:12
5
Zaburi 94:17
Kama BWANA hangenisaidia upesi, ningeishi katika kimya cha kifo.
Explorează Zaburi 94:17
6
Zaburi 94:14
Kwa kuwa BWANA hatawakataa watu wake, hatauacha urithi wake.
Explorează Zaburi 94:14