1
Zaburi 49:20
Neno
NEN
Wanadamu wenye utajiri bila ufahamu ni kama wanyama wanaoangamia.
Compară
Explorează Zaburi 49:20
2
Zaburi 49:15
Lakini Mungu atakomboa uhai wangu dhidi ya kaburi; hakika atanichukua kwake.
Explorează Zaburi 49:15
3
Zaburi 49:16-17
Usitishwe mtu anapotajirika, fahari ya nyumba yake inapoongezeka, kwa maana hatachukua chochote atakapokufa, fahari yake haitashuka pamoja naye.
Explorează Zaburi 49:16-17