YouVersion logo
BibelLeseplanerVideoer
Få appen
Språkvelger
Søkeikon

Populære bibelvers fra Mathayo 9

1

Mathayo 9:37-38

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu akawaambia wafuasi wake, “Kuna mavuno mengi ya watu ya kuleta. Lakini kuna wafanyakazi wachache wa kusaidia kuwavuna. Mungu anamiliki mavuno. Mwombeni atume wafanyakazi wengi zaidi wa kusaidia kukusanya mavuno yake.”

Sammenlign

Utforsk Mathayo 9:37-38

2

Mathayo 9:13

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Nendeni mkajifunze andiko hili linamaanisha nini: ‘Sihitaji dhabihu ya mnyama; Ninataka ninyi mwoneshe wema kwa watu.’ Sikuja kuwaalika wema kujiunga nami, bali wenye dhambi.”

Sammenlign

Utforsk Mathayo 9:13

3

Mathayo 9:36

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu aliona watu wengi na kuwahurumia kwa sababu walikuwa wanakandamizwa na hawakuwa na tumaini; kama kondoo bila mchungaji wa kuwaongoza.

Sammenlign

Utforsk Mathayo 9:36

4

Mathayo 9:12

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu alipowasikia wakisema hili, akawaambia, “Wagonjwa ndiyo wanaohitaji daktari si wenye afya.

Sammenlign

Utforsk Mathayo 9:12

5

Mathayo 9:35

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu alisafiri akipita katika miji yote na vijiji. Alifundisha katika masinagogi yao na kuwaeleza watu Habari Njema kuhusu ufalme wa Mungu. Aliponya kila aina ya magonjwa na udhaifu.

Sammenlign

Utforsk Mathayo 9:35

Gratis leseplaner og andakter relatert til Mathayo 9

Forrige kapittel
Neste kapittel
YouVersion

Oppmuntrer og utfordrer deg til å søke nærhet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Frivillig

Blogg

Presse

Nyttige lenker

Hjelp

Gi

Bibeloversettelser

Lydbibler

Bibelspråk

Dagens bibelvers


En digital tjeneste av

Life.Church
Norsk

©2026 Life.Church / YouVersion

PersonvernerklæringVilkår
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest