YouVersion logo
BibelLeseplanerVideoer
Få appen
Språkvelger
Søkeikon

Populære bibelvers fra Mathayo 20

1

Mathayo 20:26-28

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Lakini isiwe hivyo miongoni mwenu. Kila anayetaka kuwa kiongozi wenu lazima awe mtumishi wenu. Kila anayetaka kuwa wa kwanza ni lazima awatumikie ninyi nyote kama mtumwa. Fanyeni kama nilivyofanya: Mwana wa Adamu hakuja ili atumikiwe na watu. Alikuja ili awatumikie wengine na kutoa maisha yake ili kuwaokoa watu wengi.”

Sammenlign

Utforsk Mathayo 20:26-28

2

Mathayo 20:16

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Hivyo walio wa mwisho sasa watakuwa wa kwanza siku zinazokuja. Na walio wa kwanza sasa watakuwa wa mwisho siku zinazokuja.”

Sammenlign

Utforsk Mathayo 20:16

3

Mathayo 20:34

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu aliwahurumia wale wasiyeona. Akayagusa macho yao, na mara hiyo hiyo wakaanza kuona. Wakawa wafuasi wa Yesu.

Sammenlign

Utforsk Mathayo 20:34

Gratis leseplaner og andakter relatert til Mathayo 20

Forrige kapittel
Neste kapittel
YouVersion

Oppmuntrer og utfordrer deg til å søke nærhet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Frivillig

Blogg

Presse

Nyttige lenker

Hjelp

Gi

Bibeloversettelser

Lydbibler

Bibelspråk

Dagens bibelvers


En digital tjeneste av

Life.Church
Norsk

©2026 Life.Church / YouVersion

PersonvernerklæringVilkår
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest