YouVersion logo
BibelLeseplanerVideoer
Få appen
Språkvelger
Søkeikon

Populære bibelvers fra Mathayo 15

1

Mathayo 15:18-19

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Lakini mambo mabaya ambayo watu wanasema kwa vinywa vyao hutokana na mawazo yao. Na hayo ndiyo yanayoweza kumtia mtu unajisi. Mambo mabaya haya yote huanzia akilini: mawazo maovu, mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, uongo, na matukano.

Sammenlign

Utforsk Mathayo 15:18-19

2

Mathayo 15:11

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Si chakula kinachoingia mdomoni kinachomtia mtu unajisi, bali kile kinachomtoka mdomoni mwake.”

Sammenlign

Utforsk Mathayo 15:11

3

Mathayo 15:8-9

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

‘Watu hawa wananiheshimu kwa maneno tu, lakini mimi si wa muhimu kwao. Ibada zao kwangu hazina maana. Wanafundisha kanuni za kibinadamu tu.’”

Sammenlign

Utforsk Mathayo 15:8-9

4

Mathayo 15:28

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Kisha Yesu akamjibu, “Mwanamke, una imani kuu! Utapata ulichoomba.” Wakati huo huo binti wa yule mwanamke akaponywa.

Sammenlign

Utforsk Mathayo 15:28

5

Mathayo 15:25-27

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ndipo mwanamke alikuja mahali alipokuwa Yesu na kuinama mbele yake. Akasema, “Bwana, nisaidie!” Akamjibu kwa kumwambia, “Si sahihi kuwapa mbwa mkate wa watoto.” Mwanamke akasema, “Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula vipande vya chakula vinavyoanguka kutoka kwenye meza za mabwana zao.”

Sammenlign

Utforsk Mathayo 15:25-27

Gratis leseplaner og andakter relatert til Mathayo 15

Forrige kapittel
Neste kapittel
YouVersion

Oppmuntrer og utfordrer deg til å søke nærhet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Frivillig

Blogg

Presse

Nyttige lenker

Hjelp

Gi

Bibeloversettelser

Lydbibler

Bibelspråk

Dagens bibelvers


En digital tjeneste av

Life.Church
Norsk

©2026 Life.Church / YouVersion

PersonvernerklæringVilkår
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest