YouVersion logo
BibelLeseplanerVideoer
Få appen
Språkvelger
Søkeikon

Populære bibelvers fra Mwanzo 2

1

Mwanzo 2:24

Neno

NEN

Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 2:24

2

Mwanzo 2:18

Neno

NEN

BWANA Mungu akasema, “Si vyema huyu mtu awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 2:18

3

Mwanzo 2:7

Neno

NEN

BWANA Mungu alimuumba mtu kutoka mavumbi ya ardhi, akampulizia pumzi ya uhai puani mwake, naye mtu akawa kiumbe hai.

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 2:7

4

Mwanzo 2:23

Neno

NEN

Huyo mwanaume akasema, “Huyu sasa ni mfupa wa mifupa yangu, na nyama ya nyama yangu, ataitwa ‘mwanamke’, kwa kuwa alitolewa katika mwanaume.”

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 2:23

5

Mwanzo 2:3

Neno

NEN

Mungu akaibariki siku ya saba, akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika baada ya kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 2:3

6

Mwanzo 2:25

Neno

NEN

Adamu na mkewe wote walikuwa uchi, wala hawakuona aibu.

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 2:25

Forrige kapittel
Neste kapittel
YouVersion

Oppmuntrer og utfordrer deg til å søke nærhet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Frivillig

Blogg

Presse

Nyttige lenker

Hjelp

Gi

Bibeloversettelser

Lydbibler

Bibelspråk

Dagens bibelvers


En digital tjeneste av

Life.Church
Norsk

©2026 Life.Church / YouVersion

PersonvernerklæringVilkår
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest