INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA TISAVoorbeeld

YESU AWAPONYA WENYE UKOMA KUMI
11 Yesu alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya.
"12 Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye. Wakasimama mbali,
13 wakapaza sauti, wakasema, “Yesu, Bwana, tuhurumie!”
14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Nao walipokuwa njiani wakienda, wakatakasika.
15 Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Yesu, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.
"Akajitupa miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.
17 Yesu akauliza, “Je, hawakuponywa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?
18 Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?”
19 Yesu akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako imekuponya.”
Schrift
Over dit leesplan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Gerelateerde leesplannen

De reis van Mary Magdalene, Deel 4: ‘Hersteld door genade’

Bijbelse principes over ontwikkelen I Authentiek ontwikkelen I Deel 1

De reis van Mary Magdalene, Deel 1: 'Geroepen worden'

De reis van Matthew, Deel 1: 'Welkom zoals je bent'

Door het boek Handelingen 1 met Paul Visser

De reis van Matthew, Deel 3: ‘Ontdek je roeping’

De reis van Mary Magdalene, Deel 2: 'Genezen en bevrijd'

De reis van Mary Magdalene, Deel 3: ‘Niet buitengesloten!’

Bijbelse principes over ontwikkelen I Ontwikkelen in verbondenheid I Deel 2
