1
Marko 4:39-40
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yesu akaamuka, akakaripia ile zoruba na kuiambia ziwa: “Kimya! Tulizana!” Basi zoruba ikakoma na kukakuwa kimya kabisa. Kisha Yesu akawaambia wanafunzi: “Sababu gani munaogopa? Mpaka sasa hamujakuwa na imani?”
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 4:39-40
2
Marko 4:41
Halafu wakaogopa sana, nao wakaanza kuulizana: “Huyu ni mutu gani, hata zoruba na ziwa vinamutii?”
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 4:41
3
Marko 4:38
Yesu alikuwa upande wa nyuma wa chombo, akilala usingizi akilalisha kichwa juu ya mufuko wa kuegemea. Wanafunzi wake wakamwamusha na kumwambia: “Mwalimu, haikuhangaishi kuona sisi tunakufa?”
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 4:38
4
Marko 4:24
Yesu akawaambia tena: “Muangalie vizuri maneno munayosikia! Mungu atawapimia na kipimo kile munachowapimia wengine, na kuwaongezea hata zaidi.
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 4:24
5
Marko 4:26-27
Yesu akaendelea kusema: “Ufalme wa Mungu unafanana na mutu mumoja aliyepanda mbegu katika shamba lake. Kila siku alilala na kuamuka na mbegu ziliota na kukomaa. Lakini hakujua namna gani mbegu zilivyoota.
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 4:26-27
6
Marko 4:23
Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 4:23
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू