1
Marko 3:35
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa sababu mutu yeyote anayefanya mapenzi ya Mungu, huyu ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu.”
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 3:35
2
Marko 3:28-29
“Kweli ninawaambia: watu wataweza kusamehewa zambi zao zote na matusi yao yote. Lakini mutu anayemutukana Roho Mutakatifu hatasamehewa hata milele, kwa maana zambi ile inadumu kwa milele.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 3:28-29
3
Marko 3:24-25
Watu wa ufalme mumoja wakigombana wao kwa wao, ufalme ule utaanguka. Nao watu wa jamaa moja wakigombana wao kwa wao, jamaa ile haitadumu.
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 3:24-25
4
Marko 3:11
Na wakati pepo walipomwona Yesu, wakaanguka mbele yake na kulalamika, wakisema: “Wewe ni Mwana wa Mungu.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 3:11
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू