INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA NANESampel

MFANO WA MCHUNGAJI MWEMA
Mtu wa kuajiriwa ambaye kondoo si mali yake, amwonapo mbwa mwitu anakuja, hukimbia na kuwaacha kondoo na mbwa mwitu hulishambulia kundi na kulitawanya.
Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.
“Mimi ndimi mchungaji mwema. Ninawajua kondoo wangu nao kondoo wangu wananijua.
Kama vile Baba anavyonijua mimi, nami ninavyomjua Baba, nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
"Ninao kondoo wengine ambao si wa zizi hili, inanipasa kuwaleta, nao wataisikia sauti yangu, hivyo patakuwa na kundi moja na mchungaji mmoja.Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena."
Kitab
Perihal Pelan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Pelan yang Berkaitan

Bangkitlah dan Bersinarlah

Serahkanlah Segala Kekhuatiran Kamu

Terpilih - Mendedahkan Wanita dalam Kristus

Dimeterai - Bahagian 1

Benih: Apa dan Mengapa

Sukacita untuk Perjalanan: Menemui Harapan di Tengah-tengah Dugaan

Apakah Tujuan Saya? Belajar Mengasihi Allah dan Mengasihi Orang Lain

Anthem:Kasih Kurnia dalam Cerita Hidup Anda

Mengasihi dan Terus Mengasihi
