Mattayo MT. 1:18-19

Mattayo MT. 1:18-19 SWZZB1921

Na kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. Mariamu mama yake alipoposwa na Yusuf, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Nae Yusuf, mumewe, kwa kuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri.

無料の読書プランとMattayo MT. 1:18-19に関係したデボーション