YouVersionロゴ
聖書読書プランビデオ
アプリを入手
言語選択
検索アイコン

Mattayo MT. 12の有名な聖句

1

Mattayo MT. 12:36-37

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Bassi, nawaambieni, Killa neno lisilo maana, watakalolisema wana Adamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu. Maana kwa maneno yako utapewa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.

比較

Mattayo MT. 12:36-37で検索

2

Mattayo MT. 12:34

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Uzao wa nyoka, mwawezaje kusema mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.

比較

Mattayo MT. 12:34で検索

3

Mattayo MT. 12:35

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa mema: na mtu mbaya katika hazina yake mbaya hutoa mabaya

比較

Mattayo MT. 12:35で検索

4

Mattayo MT. 12:31

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Kwa sababu hii nawaambieni, Killa dhambi na killa neno la kufuru watasamehewa wana Adamu, bali kumtukana Roho hawatasamehewa wana Adamu.

比較

Mattayo MT. 12:31で検索

5

Mattayo MT. 12:33

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake mabaya, kwa maana kwa matunda yake mti hujulikana.

比較

Mattayo MT. 12:33で検索

無料の読書プランとMattayo MT. 12に関係したデボーション

前章
次章
YouVersion

日々、神との親しい交わりを求めるために、あなたを励まし、勇気を与えます。

ミニストリー

概要

キャリア

ボランティア

ブログ

プレス

便利なリンク集

ヘルプ

寄付

聖書の訳

オーディオ聖書

聖書の言語

今日の聖句


デジタルミニストリー

Life.Church
日本語

©2026 Life.Church / YouVersion

プライバシー規約利用規約
脆弱性の開示
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest