Somabiblia Kila Siku 3Campione

Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa (m.21 na 32). Kwa macho ya kibinadamu Bwana Yesu alichelewa. Lakini Yesu alijua yote tokea mbali (m.11-15). Na ilikuwa ni hatari kwa Yesu kwenda Bethania (m.7-8 na 16). Lakini upendo wake kwa wafiwa ulimsukuma aende (m.3 na 5)! Martha alipoonyesha imani yake juu ya ufufuo siku ya mwisho (m. 23f), Yesu alimfundisha akisema: Mimi ndimi huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi(m.25f)! Je, unasadiki hayo?
Scrittura
Riguardo questo Piano

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Piani Collegati

Quando Il Cuore Arde Gli Occhi Si Aprono

Genitore: Un Dono, Non Un Mestiere

Consapevolezza E Riconoscimento

Getta Il Tuo Pane Sulle Acque

EquipHer Vol. 26: "Come Spezzare il Ciclo dell’Autosabotaggio"

Il Battesimo: Più Di Un Simbolo

Credi, Agisci, Vinci!

Come pregare con fede senza lasciarsi sopraffare dalle emozioni?

La Sindrome Di Dory
