Yesu alipomwona mama yake na yule mwanafunzi, aliyempenda, akisimama karibu, akamwambia mama yake: Mama, tazama, mwana wako huyu! Kisha akamwambia yule mwanafunzi: Tazama, mama yako huyu! Tokea saa ileile yule mwanafunzi akamchukua, akampeleka nyumbani mwake.