1
Kumbukumbu la Sheria 4:29
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kisha kutoka humohumo katika inchi mutamutafuta Yawe, Mungu wenu, nanyi mutamupata kama mukimutafuta kwa moyo wote na roho yote.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 4:29
2
Kumbukumbu la Sheria 4:31
Yawe, Mungu wenu, ni Mungu mwenye rehema, hatawaachilia wala kuwaangamiza, wala kusahau agano ambalo alifanya na wazee wenu kwa kiapo.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 4:31
3
Kumbukumbu la Sheria 4:24
maana Yawe, Mungu wenu, ni moto unaoteketeza. Yeye ni Mungu mwenye wivu.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 4:24
4
Kumbukumbu la Sheria 4:9
“Lakini mukuwe waangalifu na kufanya angalisho sana kusudi musisahau mambo yale muliyoona kwa macho yenu wenyewe, kusudi isitokee hata mara moja katika maisha yenu mambo hayo kusahaulika ndani ya mioyo yenu. Muwaelezee watoto wenu na wajukuu wenu
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 4:9
5
Kumbukumbu la Sheria 4:39
Basi, mukumbuke leo na kuweka ndani ya mioyo yenu, kwamba Yawe ndiye Mungu juu mbinguni na chini katika dunia. Hakuna mwingine.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 4:39
6
Kumbukumbu la Sheria 4:7
“Hakuna taifa lolote hata likuwe kubwa namna gani, ambalo mungu wake yuko karibu nalo, kama vile Yawe, Mungu wetu, anavyokuwa karibu nasi tunapomwomba musaada.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 4:7
7
Kumbukumbu la Sheria 4:30
Mambo haya yote yatakapowapata huko, kisha mukipata taabu, mutamurudilia Yawe na kumutii.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 4:30
8
Kumbukumbu la Sheria 4:2
Musiongeze chochote katika amri ninazowapa, wala musipunguze kitu. Mushike amri za Yawe, Mungu wenu, ambazo ninawapa.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 4:2