Mwanzo 25:32-33

Mwanzo 25:32-33 SCLDC10

Esau akasema, “Sawa! Niko karibu kufa; haki yangu ya mzaliwa wa kwanza itanifaa nini?” Yakobo akamwambia, “Niapie kwanza.” Basi, Esau akamwapia na kumwuzia Yakobo haki yake ya mzaliwa wa kwanza.

Rencana Bacaan dan Renungan gratis terkait dengan Mwanzo 25:32-33