Logo YouVersion
AlkitabRencanaVideo
Dapatkan Aplikasinya
Pemilih Bahasa
Ikon Pencarian

Ayat-ayat Alkitab Ternama dari 1 Mose 21

1

1 Mose 21:1

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Bwana akamkagua Sara, kama alivyosema; naye Bwana akamfanyizia Sara, kama alivyomwagia.

Bandingkan

Telusuri 1 Mose 21:1

2

1 Mose 21:17-18

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Mungu alipokisikia kilio cha mtoto, malaika wa Mungu akamwita Hagari toka mbinguni, akamwambia: Una nini, Hagari? Usiogope! Kwani Mungu amekisikia kilio cha mtoto hapo, anapolala. Inuka, umwinue mtoto na kumshika kwa mkono wako! Kwani nitamfanya kuwa taifa kubwa.

Bandingkan

Telusuri 1 Mose 21:17-18

3

1 Mose 21:2

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Kwa hiyo Sara akapata mimba, akamzalia Aburahamu mtoto mume katika uzee wake siku zizo hizo, Mungu alizomwagia.

Bandingkan

Telusuri 1 Mose 21:2

4

1 Mose 21:6

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Naye Sara akasema: Mungu amenipatia kuchekwa, kwani kila atakayevisikia atanicheka.

Bandingkan

Telusuri 1 Mose 21:6

5

1 Mose 21:12

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

lakini Mungu akamwambia Aburahamu: Neno hilo lisiwe baya machoni pako kwa ajili ya huyo kijana na huyo kijakazi wako! Yote, Sara atakayokuambia, mwitikie sauti yake! Kwani watakaoitwa uzao wako ni wa Isaka tu.

Bandingkan

Telusuri 1 Mose 21:12

6

1 Mose 21:13

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Lakini mwana wa kijakazi naye nitamweka kuwa taifa zima, kwani naye ni uzao wako.

Bandingkan

Telusuri 1 Mose 21:13

Rencana Bacaan dan Renungan gratis terkait dengan 1 Mose 21

Pasal Sebelumnya
Pasal Berikutnya
YouVersion

Mendorong dan menantang Anda mencari keintiman dengan Tuhan setiap hari.

Pelayanan

Tentang

Karier

Sukarelawan

Blog

Pers

Tautan Berguna

Bantuan

Sumbang

Versi Alkitab

Alkitab Audio

Bahasa Alkitab

Ayat Hari Ini


Pelayanan Digital dari

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

Kebijakan PrivasiSyarat
Program Pengungkapan Kerentanan
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Beranda

Alkitab

Rencana

Video