1
1 Mose 16:13
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Ndipo, alipomwita Bwana aliyesema naye jina lake: Wewe Mungu unaniona, kwani alisema: Kumbe nami nimemwona, aliponitazama.
Bandingkan
Telusuri 1 Mose 16:13
2
1 Mose 16:11
Malaika wa Bwana akaendelea kumwambia: Ninakuona kuwa mwenye mimba. Mwana, utakayemzaa, mwite jina lake Isimaeli (Mungu husikia), kwa kuwa Bwana amekusikia, ulipomlalamikia kwa kuteseka.
Telusuri 1 Mose 16:11
3
1 Mose 16:12
Naye atakuwa mwenye ukali kama punda wa porini, mkono wake utawapingia watu wote, nayo mikono yao wote itampingia yeye, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.
Telusuri 1 Mose 16:12
Beranda
Alkitab
Rencana
Video