Logo YouVersion
AlkitabRencanaVideo
Dapatkan Aplikasinya
Pemilih Bahasa
Ikon Pencarian

Ayat-ayat Alkitab Ternama dari Mwanzo 2

1

Mwanzo 2:24

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

Bandingkan

Telusuri Mwanzo 2:24

2

Mwanzo 2:18

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.

Bandingkan

Telusuri Mwanzo 2:18

3

Mwanzo 2:7

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe hai.

Bandingkan

Telusuri Mwanzo 2:7

4

Mwanzo 2:23

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.

Bandingkan

Telusuri Mwanzo 2:23

5

Mwanzo 2:3

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.

Bandingkan

Telusuri Mwanzo 2:3

6

Mwanzo 2:25

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.

Bandingkan

Telusuri Mwanzo 2:25

Rencana Bacaan dan Renungan gratis terkait dengan Mwanzo 2

Pasal Sebelumnya
Pasal Berikutnya
YouVersion

Mendorong dan menantang Anda mencari keintiman dengan Tuhan setiap hari.

Pelayanan

Tentang

Karier

Sukarelawan

Blog

Pers

Tautan Berguna

Bantuan

Sumbang

Versi Alkitab

Alkitab Audio

Bahasa Alkitab

Ayat Hari Ini


Pelayanan Digital dari

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

Kebijakan PrivasiSyarat
Program Pengungkapan Kerentanan
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Beranda

Alkitab

Rencana

Video