Injili Ulimwenguni - Sehemu 1Egzanp

Kisha Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Mto Yordani ili Yohana ambatize. Lakini Yohana akajitahidi kumzuia, akimwambia, “Mimi ninahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu nikubatize?” Lakini Yesu akamjibu, “Kubali hivi sasa, kwa maana ndivyo itupasavyo kwa njia hii kuitimiza haki yote.” Hivyo Yohana akakubali. Naye Yesu alipokwisha kubatizwa, mara alipotoka ndani ya maji, ghafula mbingu zikamfungukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua na kutulia juu yake. Nayo sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa, ambaye ninapendezwa sana naye.”
Ekriti
Konsènan Plan sa a

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Plan ki liye yo

Mirak Jezi : Revele idantite divin Li

Karèm/Pak : Jezi soufri, mouri, epi genyen viktwa

Istwa Nwèl : 5 jou sou nesans Jezi

Grandi Nan Sanktifikasyon

Gerizon Jezi : Eksplore pouvwa & konpasyon

Ansèyman Jezi : Desizyon saj & benediksyon ki dire

Parabòl Jezi : Eksplikasyon pratik sou Peyi Wa a

Karèm/Pak : Dènye jou Jezi yo

Bondye pa ChatGPT
