Injili Ulimwenguni - Sehemu 3Primjer

Yesu aondoa pepo wachafu
Kisha Yesu akashuka kwenda kapernaumu, mji wa Galilaya na katika siku ya sabato akawa anafundisha. Wakashangazwa sana na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.
Ndani ya sinagogi palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, akapiga kelele kwa nguvu akisema,
"Tuache! tuna nini nawe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakujua wewe ni nani. Wewe ni mtakatifu wa mungu
Basi Yesu akamkemea yule pepo mchafu, akisema, “Nyamaza na umtoke!”
Yule pepo mchafu akamwangusha chini yule mtu mbele yao wote, akatoka pasipo kumdhuru.
Watu wote wakashangaa wakaambiana, “Mafundisho haya ni ya namna gani? Kwa mamlaka na nguvu, anawaamuru pepo wachafu, nao wanatoka!”
Habari zake zikaanza kuenea kila mahali katika sehemu ile.
Sveto pismo
O planu čitanja

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Povezani planovi

Božićna priča: 5 dana o Isusovu rođenju

Korizma/Uskrs: Isus se hrabro suočava sa smrću

Korizma/Uskrs: Isus trpi, umire i pobjeđuje

Korizma/Uskrs: Isusovi posljednji dani

Isusova učenja: Mudri izbori i trajni blagoslovi

Susret koji mijenja: 40-dnevni izazov (Evanđelje po Luki)

Isusova ozdravljenja: Otkrivanje Njegove snage i suosjećanja

Isusove prispodobe: Praktična objašnjenja Kraljevstva

Isusova čuda: Otkrivanje Njegova božanskog identiteta
