Logo de l'application Bible
Îcone de recherche

Mathayo 7:15-16

Mathayo 7:15-16 BHN

“Jihadharini na manabii wa uongo. Wao huja kwenu wakionekana kama kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali. Mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La!

Plans de lecture et méditations gratuites relatifs àMathayo 7:15-16