Logo de l'application Bible
Îcone de recherche

Mathayo 20:26-28

Mathayo 20:26-28 BHN

Lakini kwenu isiwe hivyo, ila anayetaka kuwa mkuu kati yenu sharti awe mtumishi wa wote; na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu. Jinsi hiyohiyo, Mwana wa Mtu hakuja kutumikiwa, bali kutumikia na kutoa maisha yake kuwa fidia ya watu wengi.”

Plans de lecture et méditations gratuites relatifs àMathayo 20:26-28