Somabiblia Kila Siku 3Esimerkki

Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa (m.21 na 32). Kwa macho ya kibinadamu Bwana Yesu alichelewa. Lakini Yesu alijua yote tokea mbali (m.11-15). Na ilikuwa ni hatari kwa Yesu kwenda Bethania (m.7-8 na 16). Lakini upendo wake kwa wafiwa ulimsukuma aende (m.3 na 5)! Martha alipoonyesha imani yake juu ya ufufuo siku ya mwisho (m. 23f), Yesu alimfundisha akisema: Mimi ndimi huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi(m.25f)! Je, unasadiki hayo?
Tietoa tästä suunnitelmasta

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Samankaltaiset suunnitelmat

Efesolaisille: 6 päivän lukusuunnitelma

Raamatun lukusuunnitelma

Missio Dei - JUMALAN KUTSUMAT

Mikä on minun tarkoitukseni? Opitaan rakastamaan Jumalaa ja rakastamaan toisia

Tutki Jerusalemin Unohtumatonta Temppeliä

Loistavaa

Hymni: Armo tarinassasi

Heitä murheesi

Kesän raamatunlukusuunnitelma
