INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA NANESample

MFANO WA MCHUNGAJI MWEMA
Mtu wa kuajiriwa ambaye kondoo si mali yake, amwonapo mbwa mwitu anakuja, hukimbia na kuwaacha kondoo na mbwa mwitu hulishambulia kundi na kulitawanya.
Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.
“Mimi ndimi mchungaji mwema. Ninawajua kondoo wangu nao kondoo wangu wananijua.
Kama vile Baba anavyonijua mimi, nami ninavyomjua Baba, nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
"Ninao kondoo wengine ambao si wa zizi hili, inanipasa kuwaleta, nao wataisikia sauti yangu, hivyo patakuwa na kundi moja na mchungaji mmoja.Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena."
Scripture
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related plans

The Way of the Wise

12 Days of Purpose

Resilience Reset

Walk With God: 3 Days of Pilgrimage

Nurturing Your Desire for More in a Healthy Way

The Lighthouse in the Fog

Overcoming Offense

The Path: What if the Way of Jesus Is Different Than You Thought?

How God Doubled Our Income in 18 Days
