INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMISample

UTABIRI WA KUFA KWA YESU NA KUFUFUKA
31 Yesu akawachukua wale wanafunzi wake kumi na wawili kando na kuwaambia,
“Tunapanda kwenda Yerusalemu na kila kitu kilichoandikwa na manabii kumhusu Mwana wa Adamu kitatimizwa.
32 Kwa kuwa atatiwa mikononi mwa watu wasiomjua Mungu, nao watamdhihaki, watamtukana na kumtemea mate, watampiga mijeledi na kumwua.Siku ya tatu atafufuka.”
34 Wanafunzi wake hawakuelewa mambo haya, kwa kuwa maana yake ilikuwa imefichika kwao, nao hawakujua Yesu alikuwa anazungumzia nini.
Scripture
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related plans

As for Me - Pre Youth Camp

The Good Enough Mom

Evangelize Everywhere: Work Edition

Financial Discipleship – the Bible on Cosigning

Parenting on Point

Walking in His Truth: A 5-Day Journey Through God's Story

Forged by Fire

Technology & God - God in 60 Seconds

The Making of a Biblical Leader: 10 Principles for Leading Others Well
