Somabiblia Kila Siku 3Beispiel

Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa (m.21 na 32). Kwa macho ya kibinadamu Bwana Yesu alichelewa. Lakini Yesu alijua yote tokea mbali (m.11-15). Na ilikuwa ni hatari kwa Yesu kwenda Bethania (m.7-8 na 16). Lakini upendo wake kwa wafiwa ulimsukuma aende (m.3 na 5)! Martha alipoonyesha imani yake juu ya ufufuo siku ya mwisho (m. 23f), Yesu alimfundisha akisema: Mimi ndimi huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi(m.25f)! Je, unasadiki hayo?
Die Heilige Schrift
Über diesen Leseplan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Relevante Lesepläne

Vier vergessene Disziplinen, die Ihr spirituelles Leben verändern

WEIL JESUS MEIN ALLES IST - 12 Gründe für lebendigen Glauben

Ehre

Die Wahrheit kann schmerzen - aber die Lüge tötet

Wach auf! Gib Satan keinen Grund zu jubeln

Die Ehe durch das Wort Gottes stärken

Ein besseres Verständnis der Salbung

Heilung ist unter seinen Flügeln!

Der Brief an die Galater
