Logo YouVersion
Ikona vyhledávání

Luka 1:31-33

Luka 1:31-33 SCLDC10

Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu. Yeye atakuwa mkubwa na ataitwa Mwana wa Mungu Mkuu. Bwana Mungu atampa kiti cha mfalme Daudi, babu yake. Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”

Bezplatné plány čtení Bible a zamyšlení související s Luka 1:31-33