Logo YouVersion
Ikona vyhledávání

Mwanzo 14:18-19

Mwanzo 14:18-19 NEN

Ndipo Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai. Alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana. Naye akambariki Abramu, akisema, “Abarikiwe Abramu na Mungu Aliye Juu Sana, Muumba wa mbingu na nchi.