1
Luka 17:19
BIBLIA KISWAHILI
RSUVDC
Akamwambia, Inuka, nenda zako, imani yako imekuokoa.
Porovnat
Zkoumat Luka 17:19
2
Luka 17:4
Na kama akikukosea mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.
Zkoumat Luka 17:4
3
Luka 17:15-16
Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu; akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
Zkoumat Luka 17:15-16
4
Luka 17:3
Jilindeni; kama ndugu yako akikosa, mwonye; akitubu msamehe.
Zkoumat Luka 17:3
5
Luka 17:17
Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale tisa wako wapi?
Zkoumat Luka 17:17
6
Luka 17:6
Bwana akasema, Kama mngekuwa na imani kiasi cha chembe ya haradali, mngeuambia mkuyu huu, Ng'oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii.
Zkoumat Luka 17:6
7
Luka 17:33
Mtu yeyote atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza; na yeyote atakayeiangamiza ataiponya.
Zkoumat Luka 17:33
8
Luka 17:1-2
Akawaambia wanafunzi wake, Vikwazo havina budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye vinakuja kwa sababu yake! Ingemfaa zaidi mtu huyo jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake, akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa wadogo hawa.
Zkoumat Luka 17:1-2
9
Luka 17:26-27
Na kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa katika siku zake Mwana wa Adamu. Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote.
Zkoumat Luka 17:26-27
Domů
Bible
Plány
Videa