1
Yohana 11:25-26
BIBLIA KISWAHILI
RSUVDC
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, hata akifa, atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?
Porovnat
Zkoumat Yohana 11:25-26
2
Yohana 11:40
Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?
Zkoumat Yohana 11:40
3
Yohana 11:35
Yesu akalia machozi.
Zkoumat Yohana 11:35
4
Yohana 11:4
Naye Yesu aliposikia, alisema, Ugonjwa huu si wa mauti, bali ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu, ili Mwana wa Mungu atukuzwe kwa huo.
Zkoumat Yohana 11:4
5
Yohana 11:43-44
Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje. Akatoka nje yule aliyekufa, akiwa amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.
Zkoumat Yohana 11:43-44
6
Yohana 11:38
Basi Yesu, akiwa na huzuni tena moyoni mwake, akafika kwenye kaburi. Nalo lilikuwa ni pango, na jiwe limewekwa juu yake.
Zkoumat Yohana 11:38
7
Yohana 11:11
Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.
Zkoumat Yohana 11:11
Domů
Bible
Plány
Videa