Mwanzo 25:32-33

Mwanzo 25:32-33 BHN

Esau akasema, “Sawa! Niko karibu kufa; haki yangu ya mzaliwa wa kwanza itanifaa nini?” Yakobo akamwambia, “Niapie kwanza.” Basi, Esau akamwapia na kumwuzia Yakobo haki yake ya mzaliwa wa kwanza.

Plans de lectura i devocionals gratuïts relacionats amb Mwanzo 25:32-33