Warumi 3:10-12
Warumi 3:10-12 TKU
Kama Maandiko yanavyosema, “Hakuna atendaye haki, hakuna hata mmoja. Hakuna hata mmoja anayeelewa, hakuna anayetaka kumfuata Mungu. Wote wamegeuka na kumwacha, na hawana manufaa kwa yeyote. Hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja.”

